Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Nusura
Posts:5
Joined:2010-07-15, 14:28
Real Name:Nusura
Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby Nusura » 2010-07-15, 16:25

Hey!

I'm learning Kiswahili, but it's extremely hard to find a book or a TV series in that language where I live. And everyone knows people learn languages much faster when they read/watch movies/write and talk in that language often, so i would like us to have a discussion in Swahili. We could ask each other questions! Like, i ask a question (in Swahili) to the next poster, he/she answers the question (in Swahili) and asks a question to the person who'll post after him/her.

My attempt to translate this into Swahili:

Ninasoma kiswahili, lakini kupata vitabu na TV series(?) ya kiswahili ni vigumu sana. Kila mtu anajua watu husoma lugha haraka zaidi kwa kusoma/kuangalia sinema/kuandika na kusema kiswahili mara nyingi. Kwa hiviyo, ninataka tuwe na mazungumzo kwa kiswahili. Tujiulize masuala ! Kwa mfano, namwuliza “next poster”(?) suala , yeye anajibu suala langu hili, halafu anamwuliza “poster” aliye ata”post”(?) nyuma ya yeye suala tofauti na suala nimeyeuliza.


Example (the discussion should be in Swahili of course):

Me: What's your favorite movie and why?
Poster 2: My favorite movie is Titanic because the actors are great and the story is very interesting. Do you play a sport?
Poster 3: No. Do you have a hobby?
Poster 4: Yes, I like drawing. Do you like dancing?
Poster 5:...

Mimi: filamu unayopenda sana ni nini? Kwa nini unapenda filamu hii?
P 2: Titanic, kwa sababu ni mchezaji na kisa ni mzuri sana. Mchezo unachezaje?
P 3: Siyo. Una "hobby"(?) ?
P 4: Ndiyo, Nataka kuchora. Unapenda kucheza?
P 5: ...


Okay, i think you got it. Right?

It may sound like a childish game, but i'm sure it will help us all speak better Swahili. Oh, and if you notice a mistake in previous posts, don't be afraid to point that out and correct it. We'll never improve without any correction! My Swahili is really awful so don't be afraid to correct my own mistakes too!

Inaonekana iwe mchezo wa kitoto, lakini nina uhakika itaiongeza ufahamu wa lugha la kiswahili yetu. Pia, kama ukiona makosa kwenye post yo yote, usiwe na hofu kumjulisha mwenyewe ya post hii. Kamwe tutaweza kusema kiswahili zaidi bila masahihisho! Najua kiswahili yangu ni kibaya sana, basi usahihishe makosa yangu pia!

As for the game, my first question is: Unachezaje mchezo? Mchezo gani? (Do you play a sport? What sport (if you do)?

Unknown
Posts:2212
Joined:2010-12-23, 22:06
Country:CACanada (Canada)

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby Unknown » 2011-01-16, 12:09

n/a
Last edited by Unknown on 2011-12-16, 22:46, edited 1 time in total.

User avatar
Formiko
Posts:13388
Joined:2008-01-25, 10:21
Real Name:Dosvdali
Gender:male
Location:Ashghabat
Country:TMTurkmenistan (Türkmenistan)

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby Formiko » 2011-01-16, 20:28

Cesare M. wrote:
Mimi kujifunza lugha ya Kiswahili, lakini ni vigumu sana kupata kitabu au mfululizo TV katika lugha ambapo mimi kuishi. Na kila mtu anajua watu kujifunza lugha kwa kasi zaidi wakati wao kusoma/kuangalia sinema/kuandika na kuzungumza lugha ambazo mara kwa mara. Hivyo napenda kama sisi kuwa na majadiliano kwa Kiswahili. Tunaweza kuuliza masuala ya kila mmoja! Mimi kuuliza suala (kwa Kiswahili) na bango ya pili, yeye majibu ya suala (kwa Kiswahili) na anauliza suala kwa mtu ambaye atakuwa wa mwisho baada ya kwake.


There are WAAAYY too many errors in your "correction."
His original post was perfectly fine. (althogh I didn't read the entire thing)
You put
"Mimi kujifunza lugha ya Kiswahili"
Pronouns are never used in this sense. The prefixes give you all the information you need.
kujifunza is the infinitive. You need to conjugate the verb and it means "to teach oneself", so you would say "Ninajifunza", but ninasoma is perfectly fine as well, it technically means "I'm reading" or I'm "reading up on", and both jifunza and soma are interchangeable. Plus, you don't need lugha ya Kiswahili, because the Ki prefix indicated language by default. It's sort of redundant. I'm not going to correct everything you wrote, but at first glance, I see nothing wrong with Nusura's post.

Unafikiri ya lugha ya Kiswahili?
You asked if I believe the language of Swahili. I think you meant do I think in Swahili.
I'm not positive, but I believe you would say

Unadhania Kiswahili?

La, sinadhania Kiswahili.

Je, una gari?
Cherokee Indian STILL improving German.
Getting reacquainted with Swahili Msaada!
In no particular order
[flag]eo[/flag][flag]de[/flag][flag]es[/flag][flag]yo[/flag][flag]chr[/flag][flag]ru[/flag]

Unknown
Posts:2212
Joined:2010-12-23, 22:06
Country:CACanada (Canada)

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby Unknown » 2011-01-16, 20:38

n/a
Last edited by Unknown on 2011-12-16, 22:46, edited 1 time in total.

Nusura
Posts:5
Joined:2010-07-15, 14:28
Real Name:Nusura

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby Nusura » 2011-01-18, 18:23

Thank you Cesare and Formiko for respectively dedicating some of your time to correcting me and correcting each other. I had almost given up the idea of anyone ever replying to this thread! :D

Formiko wrote:
Unafikiri ya lugha ya Kiswahili?
You asked if I believe the language of Swahili. I think you meant do I think in Swahili.
I'm not positive, but I believe you would say

Unadhania Kiswahili?

La, sinadhania Kiswahili.

Je, una gari?


La, sina.

Mwimbaji unayependelea ni nani? Pia, kwa nini mtu fulani huyu ni mwimbaji unayependelea?
(= who is your favorite singer? And why is this person your favorite singer?)

User avatar
Formiko
Posts:13388
Joined:2008-01-25, 10:21
Real Name:Dosvdali
Gender:male
Location:Ashghabat
Country:TMTurkmenistan (Türkmenistan)

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby Formiko » 2011-01-18, 22:06

Nusura wrote:
Mwimbaji unayependelea ni nani? Pia, kwa nini mtu fulani huyu ni mwimbaji unayependelea?
(= who is your favorite singer? And why is this person your favorite singer?)

^^^^^^^^^^hakuna Kiingereza!^^^^^^^^^^
:)
Ninapenda Regina Spektor. Kwa nini? Sikilizeni! -->http://www.youtube.com/watch?v=wigqKfLWjvM
swali sawa..
Cherokee Indian STILL improving German.
Getting reacquainted with Swahili Msaada!
In no particular order
[flag]eo[/flag][flag]de[/flag][flag]es[/flag][flag]yo[/flag][flag]chr[/flag][flag]ru[/flag]

User avatar
Halbarad65
Posts:71
Joined:2010-12-10, 8:57
Real Name:Benoit BERTHE
Gender:male
Location:TOULOUSE
Country:FRFrance (France)

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby Halbarad65 » 2011-01-19, 14:52

Jambo !

Ninaitwa Benoît. Mimi Kifaransa. Nimekuja kujifunza Kiswahili. Nisaidie, tafadhali! :)

Haraka!
[flag]fr[/flag][flag]kk[/flag][flag]de[/flag][flag]en[/flag][flag]ar[/flag][flag]bg[/flag][flag]sw[/flag]

Nusura
Posts:5
Joined:2010-07-15, 14:28
Real Name:Nusura

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby Nusura » 2011-01-19, 19:23

Halbarad65, ujaribu kuzungumza na sisi! :)

Formiko wrote:
Nusura wrote:
Mwimbaji unayependelea ni nani? Pia, kwa nini mtu fulani huyu ni mwimbaji unayependelea?
(= who is your favorite singer? And why is this person your favorite singer?)

^^^^^^^^^^hakuna Kiingereza!^^^^^^^^^^
:)


Najua nafanya makosa mengi. Kwa hiyo hainapasa niandike tafsiri pia ili uwezeshwe kuelewa nini ninajaribu kusema?

Formiko wrote:Ninapenda Regina Spektor. Kwa nini? Sikilizeni! -->http://www.youtube.com/watch?v=wigqKfLWjvM



Mwimbaji huyu ni kama Sarah Bareilles kidogo. Sikujua Regina, lakini naupenda wimbo huo sana! nitasikiliza nymbo nyingine kwa yeye. [najaribu kusema "other songs of hers" hapa, lakini sina hakika nilichoandika ni sahihi :( ]

Formiko wrote:swali sawa..


hmmm... Kuna mwimbaji wengi naopenda. Myriam Fares ni mojawapo mwimbaji wote kwa sababu ana sauti nzuri sana.

==> http://www.youtube.com/watch?v=mNoKXBhiQy0

Unaupenda wimbo huu?

User avatar
Halbarad65
Posts:71
Joined:2010-12-10, 8:57
Real Name:Benoit BERTHE
Gender:male
Location:TOULOUSE
Country:FRFrance (France)

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby Halbarad65 » 2011-01-20, 10:28

Nusura wrote:Halbarad65, ujaribu kuzungumza na sisi! :)


Marahaba mama! :D
[flag]fr[/flag][flag]kk[/flag][flag]de[/flag][flag]en[/flag][flag]ar[/flag][flag]bg[/flag][flag]sw[/flag]

vijayjohn
Language Forum Moderator
Posts:27056
Joined:2013-01-10, 8:49
Real Name:Vijay John
Gender:male
Location:Austin, Texas, USA
Country:USUnited States (United States)
Contact:

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby vijayjohn » 2013-07-28, 5:35

Hamjambo? Mimi nataka kuzungumza Kiswahili, ninyi mnataka kuzungumza tena? :D Tafadhali sahihisha makosa yangu :P

vijayjohn
Language Forum Moderator
Posts:27056
Joined:2013-01-10, 8:49
Real Name:Vijay John
Gender:male
Location:Austin, Texas, USA
Country:USUnited States (United States)
Contact:

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby vijayjohn » 2013-11-24, 21:04

Ninafikiri kwamba watu wowote hataki kuzungumza Kiswahili. :ohwell:

ceid donn
Posts:2256
Joined:2008-02-15, 0:58
Country:USUnited States (United States)

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby ceid donn » 2013-11-25, 1:46

:doggy:

(Maybe a little later I can type up something. It would be good practice a little, but I'm not good at Swahili so it takes me a long time to write something.)

vijayjohn
Language Forum Moderator
Posts:27056
Joined:2013-01-10, 8:49
Real Name:Vijay John
Gender:male
Location:Austin, Texas, USA
Country:USUnited States (United States)
Contact:

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby vijayjohn » 2013-12-17, 1:26

Nimefurahi kwamba wewe angalau unaomba kuzungumza Kiswahili. Ninatumaini kwamba tutazungumza Kiswahili baadaye kidogo! :D

ceid donn
Posts:2256
Joined:2008-02-15, 0:58
Country:USUnited States (United States)

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby ceid donn » 2014-01-23, 1:38

Jambo? Jina langu ni Cade. Mimi ni Marekani. Nilizaliwa California lakini ninaishi Texas sasa. Ninapenda muziki na mimi hucheza muziki kimarekani "jazz" na muziki kizungu "classical". Nilisoma muziki chuoni. Mimi ni mchezaji gitaa na mwimbaji. Mimi ni mwalima pia.

How are you? My name is Cade. I am an American. I was born in California but I live in Texas now. I love music and I play American jazz music and European classical music. I studied music at college. I am a guitar player and a singer. I am a teacher too.

vijayjohn
Language Forum Moderator
Posts:27056
Joined:2013-01-10, 8:49
Real Name:Vijay John
Gender:male
Location:Austin, Texas, USA
Country:USUnited States (United States)
Contact:

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby vijayjohn » 2014-02-02, 19:15

ceid donn wrote:Jambo?! Jina langu ni Cade. Mimi ni Mmarekani. Nilizaliwa California lakini ninaishi Texas sasa. Ninapenda muziki na (mimi) hucheza muziki wa Kimarekani wa "jazz" na muziki kizungu "classical" wa klasiki wa Ulaya.

:mrgreen:

Nilisoma muziki chuoni. (Mimi) ni mchezaji gitaa na mwimbaji. (Mimi) ni mwalimau pia.

Karibu! :P Habari za siku nyingi?? :D Unajifunza Kiswahili bado?

ceid donn
Posts:2256
Joined:2008-02-15, 0:58
Country:USUnited States (United States)

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby ceid donn » 2014-02-05, 18:57

Ndiyo, ninajifunza Kiswahili bado. Lakini mimi ni mgonjwa na mkamba (bronchitis). :( Ni vigumu kujifunza wakati mgonjwa.

vijayjohn
Language Forum Moderator
Posts:27056
Joined:2013-01-10, 8:49
Real Name:Vijay John
Gender:male
Location:Austin, Texas, USA
Country:USUnited States (United States)
Contact:

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby vijayjohn » 2014-03-30, 2:08

Jamani, hamjambo? Bado kuna watu wengine hapa wanaotaka kuzungumza au kujifunza Kiswahili?

vijayjohn
Language Forum Moderator
Posts:27056
Joined:2013-01-10, 8:49
Real Name:Vijay John
Gender:male
Location:Austin, Texas, USA
Country:USUnited States (United States)
Contact:

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby vijayjohn » 2014-07-13, 5:00

Sasa ninafikiri kwamba watu wowote hataki kuzungumza Kiswahili. :( Lakini si kitu. Mimi ninaweza kuandika kwa Kiswahili. Ninatumaini kwamba nitaanza kujifunza Kidinka karibu.

vijayjohn
Language Forum Moderator
Posts:27056
Joined:2013-01-10, 8:49
Real Name:Vijay John
Gender:male
Location:Austin, Texas, USA
Country:USUnited States (United States)
Contact:

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby vijayjohn » 2014-08-20, 0:51

Ninaweza kuandika hapa na kusoma TY Swahili tena. Ninaomba kufanya mifano kwa maneno "mapokezi" na "karani." Makarani wakufanya kazi nyuma ya mapokezi? Sifikiri kwamba wakufanya kazi mbele ya mapokezi.

vijayjohn
Language Forum Moderator
Posts:27056
Joined:2013-01-10, 8:49
Real Name:Vijay John
Gender:male
Location:Austin, Texas, USA
Country:USUnited States (United States)
Contact:

Re: Can we hold a DISCUSSION in SWAHILI ?

Postby vijayjohn » 2014-11-24, 10:36

Mara hii sitaki kuandika sana kwa Kiswahili. :?


Return to “African Indigenous Languages”

Who is online

Users browsing this forum: No registered users and 10 guests