Kila mtu habari!
leo mimi nataka kuzungumzo kuhusu mradi wa kiswahili wangu! Natakiwa kuchagua nchi ya bara la .Africa. Nataka kuchagua nchi ya Senegal.
Nchi ya Senegal iko Magharibi ya bara la Afrika. Inapakana na nchi ya Gambia upande wa kusini, na nchi ya Mauritania upande wa kaskazini na nchi ya guinea upande wa kusini. Mji mkuu wa Senegal ni Dakar. Miji mingine mikubwa ni Kaolack na Bignona na Diourbel. Nchi ya Senegal ina mlima mrefu ambao unaitwa Sandoundou, Tambacounda na mto mkubwa ambao unaitwa Senegal River. Na ziwa kubwa ambalo linaitwa lake retba. Na jangwa kubwa ambalo linaitwa Lompoul. bahari kubwa ambayo inaitwa Saint Louis na bonde kubwa linaloitwa Senegal Valley. Sijawahi kusafiri nchi ya Senegal laakini nataka kwenda sana! Sawa kila mtu basi.. wakati wingine nitazungumzo juu ya nchi ya Senegal zaidi. Tutaonana tena mungu akipenda!